swc_gal_text_reg/06/14.txt

1 line
374 B
Plaintext

\v 14 Ipite mbali nimie kuji sifia kama haiko kwa ajili ya musalaba ya Yesu Kristo Bwana. Nikupitia muslaba njo ulimwengu ili kubali ku tundi kwa ju yangu na mie ju yao. \v 15 Kwa sababu kutahiriwa, wala ku sipo tahiriwa haina maana, ya muhimu ni ku zaliwa upia. \v 16 Bote benye bata shika hii sheria yenye mina hundisha, amani na rehema bikue kweke na kwa Israeli ya Mungu