swc_gal_text_reg/06/11.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 11 Muna ona barua kabambi mina ba andikia. \v 12 Benye ban ataka ku ji sumbua kutu mikia mwili ban basu basu kuma mu tahiriwe, kusudu tu baripate mateso ya musalaba wa Yesu Kristo. \v 13 Sababu hata bale benye ba na jiita bana sheria, haba timize sheria yote, lakini bana penda na nye mufuate sheria ya bo kusudi ba ji sifie ju ya mwili yenu.