swc_gal_text_reg/06/06.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 6 Mwenye ana fundishiwa habari njema ana pashwa kugawanya bizuri byote na mwenye alifundisha. \v 7 Mu si danganyike, habachezake na Mungu, kila kienye mutu alipanda, ata ki vuna. \v 8 Kwa sababu mutu akipima kupanda mbegu kupitia hali yake ya zambi, ata vuna bya kuoza. Lakini mutu akipanda mbegu ju ya roho, ata vuna uzima wa roho ya milele.