swc_gal_text_reg/05/22.txt

1 line
266 B
Plaintext

\v 22 Lakini kazi za roho ni: mapendo, furaha amani, kuvumulia, kua mwema, burafiki bwa kweli bila unafika, imani. \v 23 Upole na ku ji zuiza. Ju ya ile yote hakuna hukumu. \v 24 Bote benye kua batu ya Kristo bali sulubisha mwili ya bo na tamaa na shuguli zake zote.