swc_gal_text_reg/05/16.txt

1 line
296 B
Plaintext

\v 16 nina sema, mutembee kwa roho na hamuta timiza tamaa ya mwili yenu. \v 17 Kwa sababu tamaa ya mwili ina piganisha roho sana. Na imwili na roho bina pinganaka sana. Matokeo yake ni kuona hamufanye bizuri byenye muli hita ji kufanya. \v 18 Lakini kama roho ana ba ongozi hamuko chini ya sheria