swc_gal_text_reg/05/01.txt

1 line
225 B
Plaintext

\c 5 \v 1 Kristo ali fungula kusudi tukue na uhuru ju ya ilemusimame imara, na musi itike tena kubakia chini ya utumwa. \v 2 Miye Paulo nani wa ambia hii: Mukiji irimia kua batoto ya Abrahamu, Kristo ata kua hana mafaa kwenu.