swc_gal_text_reg/04/21.txt

1 line
378 B
Plaintext

\v 21 Nyee benye mungali muna ji bandika bandika mu ma sheria nu ni ambie hamu sikiake gisi sheria ina sema? \v 22 Kwa sababu mandi ko ina sema, Abrahamu ali kuaka na batoto mbili, mu moja mu bukaramusi ye na mwna mke muja kazi, na mwengine wa mwanamke halali. \v 23 Mwenye ali zali waka na mu ja kazi alikua waki mwili lakini mtoto wa mwnamke halali njo ali kua mtoto wa ahadi.