swc_gal_text_reg/04/12.txt

1 line
408 B
Plaintext

\v 12 Nina ba bembeleza bandugu, mukue sawa miye, ju na mie nilishaka kua sasa na nyie. Hamuku ni tendeaka kibaya. \v 13 Lakini mukumbuke kama ya mara kwanza nili ba hubiriaka habari njema nili kua na hali mbaya ya mwili yangu. \v 14 Hata kama hali ya bulemo bwangu ilikua ya kukwaza batu hamu kunizarau wa kunitupiliaa, lakini muli ni pokea na furaha sa malaika wa Mungu, sawa vile munge ona Kristo ye peke.