swc_gal_text_reg/04/03.txt

1 line
361 B
Plaintext

\v 3 Na shie pia wakati tulikua batoto katika imani tu kuwa chini ya ukoloni ya maibada za sanamuza kidunia. \v 4 Lakini ili mudo Mungu alikuaka ame pangilia ikafika, aka tuma mtoto yake, akazaliwa na mwana muke chini ya ile sheria. \v 5 Alifanya vile kusudi akombea bote benye balikua chini ya ile sheria pia kusudi tu ishi uhuru ya kukubaliwa saw watoto yake.