swc_gal_text_reg/03/13.txt

1 line
330 B
Plaintext

\v 13 Kristo alituo kowa toka chini ya laana ya sheria wakati ali jifanya ye peke kuwa loana, ju yetu, Sababu inaandikwa «alaaniwe mwenye ata kae tundi kwa ku miti». \v 14 Shabaha yake ilikua kusema ile baraka yenye ika ndani ya Abrahamu, ifikie wa pagani kwa njo ya Yesu -Kristo, kusudi tu pate ile ahadi ya Roho kupitia imani.