swc_gal_text_reg/03/06.txt

1 line
355 B
Plaintext

\v 6 « Abrahamu» aliamini Mungu, akaitia mwenye haki. \v 7 Muelewe sasaa kama bote benye banaamini, ni batoto ba Abrahamu . \v 8 Bibilia ina sema kama Mungu ata shuhudia bapa gani kupitia imani yabo , Habari njema ilifikiaka Abrahamu kusema, kupitia weye mataifayote itabari kwa. \v 9 Hwi basi bote benye kua na imani, bana barikiwo pamoja na Abrahamu.