swc_gal_text_reg/03/01.txt

1 line
362 B
Plaintext

\c 3 \v 1 Bagalatia bajinga, nani mwenye ali baloga? maono ni ya Yesu kristo mwenye alifufykaka njo nibaletiaka. \v 2 Nilitakatu kuji funza kitu kimoja kwenyu, muli pataka hoho takatifu kwa matendo ya sheria ao kwa imani katika ule mwenye tuli bahubiri habari njema yake? . \v 3 Mungu muliakoka na mukakua batu ya Mungu , munataka tena rudie kua bapagani tena?