swc_gal_text_reg/02/13.txt

1 line
306 B
Plaintext

\v 13 Njo bengine bote ba kiyahudi, ba kina Barnaba baka jiunga na ile bunafikiya kefa. \v 14 Lakini wakati nili tambua kama habatembee tena na ukweli ya habari njema, ni ka muambia kefa mbele bo «Kama weye muyahudi unaishi sawa mupagani, namuna gani uta sukuma bale bapagani baige mufono ya ba yahudi?»