swc_gal_text_reg/02/11.txt

1 line
330 B
Plaintext

\v 11 Wakati kefa alifika Antikia, nilimupiga sana wazi wazi, na nilikua na sheria ju mbele, alikuaka na kula na bapagani bakule Antiokia. \v 12 Lakini wakati aliona bandugu benye Yakobo ali kuaka natuma banafika, akatumia unafiki ju ya haya na bongo mbele ya bale yahudi akaji tenga na bale bapagani ba Antikia sawa hakula nabo.