swc_gal_text_reg/02/06.txt

1 line
364 B
Plaintext

\v 6 Lakini benye batu bote balikua naita biongozi habaku ni saidia na kitu, gisi banaishi faida kwangu. Mungu hana upendeleo. \v 7 Balitambua Mungu alinita nitangazi habari njena kwa wapagani kama vile Petro aliituwaka kuhubiri wa yahudi walio tahiriwa, \v 8 kwa sababu Mungu mwenye alitumikisha Petro kwa kuhubiri ba yahudi, alitumikisha namiye nihubiri mataiya.