swc_gal_text_reg/01/18.txt

1 line
250 B
Plaintext

\v 18 Na kiisha myaka tatu njo nika hika sasa Yerusaleme kusudi ni muone Petro, na nikabakia naye ya pata siku kumi na tano. \v 19 Lakini siku ona bengine bamitume, kama sio tu Yakobo ndugu yake na bwana. \v 20 Ile ni kweli nawaambia siku sema bongo.