swc_gal_text_reg/01/13.txt

1 line
253 B
Plaintext

\v 13 Mulisikia maisha nili kuaka nayo mu dini ya kiyahudi, gisi nili kua na tesa na kusumbuo sana kanisa la Mungu. \v 14 Nili kua naendelea sana mwa ile dini kushinda bote benye bali nitanguliaka. Nili kua na Juhudi kubwa sana mu mila ya ba tate yangu.