swc_gal_text_reg/01/08.txt

1 line
434 B
Plaintext

\v 8 Lakini mutu moja ndini yetu, ao ata ni malaika mwenye ata jaribukuwa fundisha ingine enjili tafauti na habari njema ya Yesu mutakaliwa, hugo na alainiwe. \v 9 Kama vile tulisema mbele, mina rudilia tena "alainiwe" mutu mwenye ata jaribu kuwa fundisha ingine enjili tofauti na habari nje ma ya Yesu mupakaliwa. \v 10 Sasa nikona tafuta anipatie alama? kama nikitafuta batu sifie, siko kabisa mutumishi wa Yesu mupakaliwa wa Mungu.