swc_gal_text_reg/01/06.txt

1 line
350 B
Plaintext

\v 6 Mina shangala sana kuona mwenye ali baitaka na hamukukua na stahili, laki ni pupitia neema ya Yesu mupakaliwa wake, sa mina shanga moyo inaluma kuona muna feuka na kufuata enjili ingine muna acha habari jema yake. \v 7 Siseme kama kuko ingine habari yenu lakin kuko batu benye biko na ba vuruga, na kutaka ku haribisha enjili ya Yesu mupakaliwa.