forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
486 B
Markdown
20 lines
486 B
Markdown
# Kuongea naye na kusema
|
|
|
|
"Yahwe alimwambia malaika ili aongee na Zakaria na kusema"
|
|
|
|
# jina lake ni tawi
|
|
|
|
Malaika wa Yahwe anampa jina hili Yoshua mfalme mpya.
|
|
|
|
# atakuwa
|
|
|
|
Kifungu "kukua" ni neno la picha la tawi kuanza kuchipua.
|
|
|
|
# kuinua utukufu wake
|
|
|
|
Maana pendekezwa: 1) "kuongeza utukufu wa hekalu" au 2)"inua na kuvaa utukufu wa hekalu yeye mwenyewe kama mtu angeweza kuvaa nguo"
|
|
|
|
# ufahamu wa amani utakuwa kati ya vyote viwili
|
|
|
|
"wajibu wake wa mfalme na kuhani utaunganishwa."
|