sw_tn/zec/03/08.md

28 lines
534 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla:
Malaika wa Yahwe anaendelea kuengea na Yoshua.
# wenzako wanaoishi nawe
"makuhani wengine wanaoishi nawe"
# mtumishi wangu tawi
Jina "tawi" linapaswa kutafisiriwa vilevile kama tawi la mti. Inamaana kuwa mtumishi wa Yahwe atakuja kutoka kwa Yahwe kama tawi litokavyo katika mti.
# macho saba
Hizi ni pande saba.
# chonga
"chora"
# andishi
maneno yaliyoandikwa juu ya kitu fulani au kukatwa katika kitu fulani
# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi
Kifungu hiki mara nyingi hufasiriwa kama "asema Yahwe"