forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
534 B
Markdown
28 lines
534 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Malaika wa Yahwe anaendelea kuengea na Yoshua.
|
|
|
|
# wenzako wanaoishi nawe
|
|
|
|
"makuhani wengine wanaoishi nawe"
|
|
|
|
# mtumishi wangu tawi
|
|
|
|
Jina "tawi" linapaswa kutafisiriwa vilevile kama tawi la mti. Inamaana kuwa mtumishi wa Yahwe atakuja kutoka kwa Yahwe kama tawi litokavyo katika mti.
|
|
|
|
# macho saba
|
|
|
|
Hizi ni pande saba.
|
|
|
|
# chonga
|
|
|
|
"chora"
|
|
|
|
# andishi
|
|
|
|
maneno yaliyoandikwa juu ya kitu fulani au kukatwa katika kitu fulani
|
|
|
|
# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi
|
|
|
|
Kifungu hiki mara nyingi hufasiriwa kama "asema Yahwe"
|