forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
676 B
Markdown
24 lines
676 B
Markdown
# Kwa kuwa Kristo ni hitimisho la sheria
|
|
|
|
"Kwa kuwa Kristo kwa ukamilifu alitimiliza sheria"
|
|
|
|
# kwa kuwa haki ipo kwa yoyote ambaye huamini.
|
|
|
|
"ili kwamba aweze kumfanya kila moja aaminie katika yeye kuwa sawa mbele yake Mungu"
|
|
|
|
# uamini
|
|
|
|
Hapa ina maanisha kuamini kitu ni kukubali au kusadiki kuwa ni kweli.
|
|
|
|
# haki inayo kuja kutokana na sheria
|
|
|
|
"namna gani sheria humfanya kuwa sawa mbele zake Mungu"
|
|
|
|
# Mtu ambaye hufanya haki ya sheria ataishi kwa haki hii
|
|
|
|
"Mtu ambaye kwa ukamilifu utii sheria ataishi kwa sababu sheria itamfanya yeye kuwa sawa mbele ya Mungu"
|
|
|
|
# ataishi
|
|
|
|
Hii inaweza kurejea kwa 1) uzima wa milele au 2)maisha ya dunia katika ushirika pamoja na Mungu.
|