forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
489 B
Markdown
16 lines
489 B
Markdown
# Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mpandaji wa farasi nyeupe alimkamata mnyama na nabii wa uongo"
|
|
|
|
# chapa ya mnyama
|
|
|
|
Hii ilikuwa alama ya kuonesha kuwa aliyekuwa nayo alimwabudu mnyama.
|
|
|
|
# Wote wawili walitupwa wangali hai
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alimtupa mnyama na nabii wa uongo wangali hai"
|
|
|
|
# katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti
|
|
|
|
"ziwa la moto liwakalo salfa" au "sehemu ilyojaa moto unaowaka salfa"
|