forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
472 B
Markdown
20 lines
472 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya wakati wa sikukuu za mwezi wa saba.
|
|
|
|
# siku ya nne ya kusanyiko
|
|
|
|
"siku ya 4 ya sikukuu." neno "kusanyiko" linamaanisha sikukuu za majuma.
|
|
|
|
# wanakondoo wa kiume kumi na nne
|
|
|
|
"wanakondoo wa kiume 14"
|
|
|
|
# kama ilivyoamriwa
|
|
|
|
"kama BWANA alivyoamuru"
|
|
|
|
# sadaka zake za unga, na sadakazakae za vinywaji
|
|
|
|
"pamoja na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji zinazoambatana nazo."
|