forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
339 B
Markdown
12 lines
339 B
Markdown
# Je! Ni kwa jinsi gani waandishi husema Kristo ni mwana wa Daudi?
|
|
|
|
"Hawa watu hufundisha sheria ya kiyahudi lazima hawako sahihi wanaposema kwamba Kristo ni mtu tu wa kawaida wa uzao wa Mfalme Daudi!"
|
|
|
|
# mwana wa Daudi
|
|
|
|
Neno "mwana" limetumika hapa kuelezea ukoo.
|
|
|
|
# Ni kwa jinsi gani mwana wa Daudi?
|
|
|
|
"hivyo hawezi kuwa mwana wa Daudi!"
|