forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
401 B
Markdown
12 lines
401 B
Markdown
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Huu ni mwamnzowa habari mpya inyoenedelea hadi 25:44, amabpo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho. Anaanza kuwaonya watu juu ya Mafarisayo na waandishi
|
|
|
|
# Wanakalia kiti cha Musa.
|
|
|
|
Kiti kinamaanisha mamlaka ya kutawala na kuhukumu. "Wanayo mamlaka kama aliyokuwanayo Musa." au "wanayo mamlaka ya kusema maana ya sheria Musa."
|
|
|
|
# Chochote.
|
|
|
|
"Yoyote" au "kila kitu."
|