forked from WA-Catalog/sw_tn
399 B
399 B
Mungu akasema naye
"Mungu akasema kwa Abimeleki"
umefanya hili katika uadilifu wa moyo wako
Hapa"moyo" una maana ya mawazo na nia zake. "ulifanya hivi kwa nia njema" au "ulifanya hivi bila kuwa na nia ya uovu"
umshike
Hii ni lugha ya upole kwa kufanya ngono na Sara. "kulala naye"
mke wa mtu
"Mke wa Abrahamu"
utaishi
"Nitakuruhusu uishi"
wote walio wa kwako
"nyie watu wote"