forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
655 B
Markdown
20 lines
655 B
Markdown
# Ikawa kuhusu
|
|
|
|
Hili neno limetumika hapa kuonyesha tendo linaanzia wapi.
|
|
|
|
# Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema
|
|
|
|
Hii inarejea habari iliyokuwa imetolewa katikka 10:1. Baada ya kuchukua kerubi na utukufu wa Mungu katika 10:3-5, Ezekieli anarudi kueleza kuhusu yule mtu aliyekuwa amevalia nguo ya kitani.
|
|
|
|
# yule mtu aliyevalia nguo ya kitani
|
|
|
|
Tazama maana ya nguo ya kitani ilivyotafsiriwa katika 9:1.
|
|
|
|
# pembeni ya gurudumu
|
|
|
|
Tazama neno gurudumu lilivyotafsiriwa katika 1:15.
|
|
|
|
# Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao
|
|
|
|
"nikaona yule kerubi alikuwa na kitu kama mkono wa mtu chini ya mabawa yao"
|