sw_tn/exo/39/06.md

12 lines
286 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Bazaleli na kundi lake wanaendelea kutengeneza mavazi ya kikuhani.
# muhuri
Hili lilikuwa jiwe lilochorwa ambalo lilitumika kutia alama ya mchoro kwenye kitambaa kibichi.
# kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa
"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"