forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
438 B
Markdown
12 lines
438 B
Markdown
# mwana wa Nuni
|
|
|
|
Hili ni jina la baba yake Yoshua.
|
|
|
|
# Yoshua ... alikuwa amejaa na roho ya hekima
|
|
|
|
Mwandishi anazungumza kana kwamba Yoshua alikuwa chombo na roho ilikuwa kitu halisia ambacho kinaweza kuwekwa ndani ya chombo. "Yahwe alimwezesha Yoshua .. kuwa na hekima sana"
|
|
|
|
# Musa alimwekea mkono juu yake
|
|
|
|
Maana kamili ya kauli inaweza kuwekwa wazi. "Musu aliweka mikono yake juu yake kumweka Yoshua kando ili Yoshua amtumikie Yahwe"
|