forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
313 B
Markdown
12 lines
313 B
Markdown
# Musa alinena masikioni mwa kusanyiko lote la Israeli
|
|
|
|
Hapa "masikio" ina maana ya mtu mzima. "Musa alinena kwa watu wote wa Israeli"
|
|
|
|
# alinena
|
|
|
|
Maana zaweza kuwa 1) "aliimba" au 2) "alizungumza"
|
|
|
|
# maneno yote ya wimbo huu
|
|
|
|
Unaweza kuweka wazi taarifa inayoeleweka. "maneno ya wimbo ambayo Yahwe alimfundisha"
|