forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
330 B
Markdown
12 lines
330 B
Markdown
# Tazama
|
|
|
|
"Vuta nadhari kwa kile ninachotaka kukuambia"
|
|
|
|
# utalala na baba zako
|
|
|
|
Hii ni njia ya upole ya kusema "utakufa". "utakufa na kujiunga na mababu zako ambao wameshakufa kabla yako"
|
|
|
|
# watainuka na kujifanya kama kahaba
|
|
|
|
Kuwa kahaba ni sitiari ya kuabudu miungu mingine tofauti na Yahwe. "kuanza kutokuwa mwaminifu kwangu"
|