forked from WA-Catalog/sw_tn
330 B
330 B
Tazama
"Vuta nadhari kwa kile ninachotaka kukuambia"
utalala na baba zako
Hii ni njia ya upole ya kusema "utakufa". "utakufa na kujiunga na mababu zako ambao wameshakufa kabla yako"
watainuka na kujifanya kama kahaba
Kuwa kahaba ni sitiari ya kuabudu miungu mingine tofauti na Yahwe. "kuanza kutokuwa mwaminifu kwangu"