forked from WA-Catalog/sw_tn
379 B
379 B
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" na "wako" hapa ni katika umoja.
machoni pa Israeli yote
Hii ina maana ya kwamba watu wote wa Israeli walikuwa pale. "katika uwepo wa Waisraeli wote"
Uwe hodari na mwenye ujasiri mwema
"uwe hodari na jasiri"
utasababisha wairithi
"utawasaidia kuchukua nchi"