forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
736 B
Markdown
32 lines
736 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Luka anaendelea na simlizi ya tukio jipya kuhusu Petro.
|
|
|
|
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Mistari hii inatupa historia ya mwanamke aliyeitwa Tabitha.
|
|
|
|
# Palikuwa
|
|
|
|
Hili linamtambulisha sehemu mpya katika simulizi.
|
|
|
|
# Tabitha, ambalo lilitafsiriwa kama "Dorcas."
|
|
|
|
Tabitha ni jina lake katika lugha ya kiaramaiki,na jina la Dorcas katika lugha ya Kigiriki. Majina yote yalikuwa na maana ya "paa."
|
|
|
|
# alijaa matendo mema
|
|
|
|
"anafanya mengi mazuri ya kweli"
|
|
|
|
# Ilitokea katika siku hizo
|
|
|
|
"Ilitokea wakati Petro alipokuwa Lida".
|
|
|
|
# walipomsafisha
|
|
|
|
Waliusafisha mwili ikiwa ni maandalio ya maziko yake.
|
|
|
|
# walimpandisha chumba cha juu na kumlaza.
|
|
|
|
Huu ilikuwa ni utaratibu wa muda wa kuuonyesha mwili wakati wa maandalizi ya mazishi.
|