forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
414 B
Markdown
16 lines
414 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa simulizi kuhusu Filipo na mtu kutoka Ethiopia.
|
|
|
|
# Toashi hakumwona tena
|
|
|
|
Filipo alitoweka machoni pa Towashi hivyo hakumwona tena.
|
|
|
|
# Filipo akatokea Azoto.
|
|
|
|
Kulikuwa hamna dalili za Filipo kusafiri kati ya alipokutana na Ethiopia na Azoto. Ghafla alipotelea katika barabara ya Gaza na kuzuka tena Azoto.
|
|
|
|
# Mpaka alipokuja Kaisaria.
|
|
|
|
Simulizi ya Filipo inaishia Kaisaria.
|