forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
622 B
Markdown
24 lines
622 B
Markdown
# Ndipo wao wakarudi
|
|
|
|
"Mitume wakarudi"
|
|
|
|
# mwendo wa siku ya sabato
|
|
|
|
Hii inaelezea umbali ambao kutokana na desturi za walimu wa sheria wa kiyahudi, mtu aliruhusiwa kutembea mwendo wa sabato ambao yapata kilomita moja hivi.
|
|
|
|
# Walipowasiri
|
|
|
|
"Walipofika mwisho wa safari yao. Mstari wa 12 unasema, "Ndipo wakarudi Yerusalemu kutoka kwenye mlima wa mizeituni"
|
|
|
|
# chumba cha juu
|
|
|
|
"chumba ambacho kipo juu kwenye nyumba"
|
|
|
|
# Walikuwa wameungana kama mtu mmoja
|
|
|
|
Kikundi kiliungana na hakikuwa na mgawanyiko au migongano.
|
|
|
|
# wakiwa na juhudi wakiendelea katika kuomba
|
|
|
|
Wanafunzi waliomba kwa pamoja kwa kawaida na mara kwa mara.
|