forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
455 B
Markdown
20 lines
455 B
Markdown
# linda kile ulichopewa
|
|
|
|
kwa uaminifu hubiri ujumbe wa kweli ambao Yesu amekupa
|
|
|
|
# epuka majadiliano ya kipumbavu
|
|
|
|
usitilie maanani majadiliano yasiyofaa
|
|
|
|
# ambayo kwa uongo huitwa maarifa
|
|
|
|
ambayo kwa ujinga watu wengine huyaita maarifa
|
|
|
|
# wameikosa imani
|
|
|
|
Paulo anazungumzia imani katika Kristo kama vile shabaha yetu
|
|
|
|
# Neema na iwe pamoja nawe
|
|
|
|
Mungu awape neema ninyi nyote. Neno "ninyi" limetumiwa katika wingi na linarejelea jamii yote ya Wakristo.
|