forked from WA-Catalog/sw_tn
431 B
431 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kufundisha mfano aliofundisha katika 15:12
vyote vitokavyo mdomoni
Hii inamaanisha kile ambacho mtu husema
katika moyo
Hapa "moyo" inamaanisha akili za mtu au ndani ya mtu.
uuaji
kuua mtu asiye na kosa
ushuhuda wa uongo
Kusema kitu juu ya mtu mwingine ambacho ni cha kuumiza na si cha kweli
bila kunawa mikono
Hii inamaansha mtu ambaye hajaosha mikono kwa desturi za wazee