forked from WA-Catalog/sw_tn
660 B
660 B
Maelezo kw ujumla
Hapa Yesu anajibu hoja za Wayahudi
kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee?
wanafunzi wako hawaziheshimu taratibu amabzo mababu zetu walitupa
Mapokeo ya wazee
Hizi si sawa na sheria za Musa. haya ni mafundisho na tafsiri za sheria zilizotolewa na viongozi wa dini baada ya Musa
hawanawi mikono y ao
kunawa huku siyo tu kwa kusafisha mikono. Hii inamaanisha kunawa kwa desturi kutokana na taratibu za wazee. Hawaoshi mikono yao vizuri
Nanyi kwa nini mnaihalfu sheri ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu
Nami n aona kwamba mnakataa kuzitii sheria za Mungu ili tu mweze kufuata kile ambacho mababu zenu waliwafundisha