1.1 KiB
Sentensi unganishi
Yesu anaelezea juu y a ufalme wa Mungu kwa kutumia mifano miwili ya watu waliouza mali zao kwa kununua kitu cha thamani zaidi
Maelezo kwa ujumla
Katika mifano hii Yesu anatumia milinganyo miwili kuwafundisha wanfanzi wake kuhusu mfano wa ufalme wa mbinguni
Ufalme wa mbinguni ni kama
Tazama ilivyotafsiriwa katika 13:24
kama hazina iliyofichwa shambani
hazina ambayo mtu alificha shambani
hazina
kkitu cha thamani sana au vitu vilivyokusanywa
kuficha
alifunika kwa juu
aliuza kila kitu alichokuwa nacho na kulinunua shamba lile
Maana yake nin kwamba yule mtu ananunua lile shamba ili ili achukue ile hazina iliyofichwa
ni kama mtu anayefanya biashara atafutaye lulu ya thamani
maana yake ni kwamba yule mtu alikuwa anatafuta ile luu ya thamani ili aweze kuinunua
mfanya biashara
mchuuzaji au mtu anayeshughulika kuuza vitu vya jumla ambaye mara kwa mara hupata wateaja tokea mbali
lulu ya tahmani
"lulu" ni kitu lain, kigumu, kinachong'aa, cheupe au shanga yenye mng'ao inayopatikana kwenye viumbe wenye asili ya konokono baharini. Lulu ina bei y a juu sana na hutengenezwa vitu vya thamani kama pete.