forked from WA-Catalog/sw_tn
657 B
657 B
Sentensi ungnishi
Mandhari yanahamia kwenye nyumba amabyo Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanaishi. Yesu anaanza kuwafundiasha mfano wa shamba ambalo lilikuwa na magugu na ngano alilokuwa amewaambia mwanzoni katika 13:24.
kwenda nyumbani
"aliingia ndani" au "aliingia kwenye nyumba ile aliyokuwa anaishi"
apandae
"mpamzi"
Mwana wa Adamu
Yesu anamaanisha yeye mwenyewe
wana wa ufalme
Hapa "wana wa" inamaanisha kuwa mali ya au kuwa na tabia zilezile alizo nazo.
wa ufalme
Mungu ni mfalme
wana wa yule mwovu
watu ambao ni mali ya yule mwovu
adui aliyezipanda
"adui aliyepanda magugu"
mwisho wa ulimwengu
"mwisho wa nyakati