forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.0 KiB
Markdown
44 lines
1.0 KiB
Markdown
# Mimi ni mtakatifu
|
|
|
|
"Mimi ni kamili"
|
|
|
|
# kuhusu mimi mwenyewe
|
|
|
|
"nini kinanitokea"
|
|
|
|
# Haileti tofauti
|
|
|
|
"yote ni sawa" au "haina shida"
|
|
|
|
# huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia
|
|
|
|
"yeye huwafikisha kila mmoja mwisho, kama ni wasio na kosa au waovu"
|
|
|
|
# Kama hilo pigo liliua ghafla
|
|
|
|
"Kama baa linaweza kuua watu ghafra"
|
|
|
|
# mateso ya watu wasio na makosa
|
|
|
|
Jina la kufikirika "wasio na makosa" linaweza kutafasiriwa kama kitenzi "tesa." "wakati watu wasio na makosa wakiteswa"
|
|
|
|
# Dunia imetiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika hali halisi. "Mungu anatoa nchi"
|
|
|
|
# Dunia
|
|
|
|
Hapa "nchi" imetumika kuwakilisha watu waishio juu ya nchi. "Watu wa ulimwengu ni"
|
|
|
|
# mkononi mwa
|
|
|
|
Hapa "mkono" ni mfano wa "udhibiti." "chini ya udhibiti wa"
|
|
|
|
# Mungu hufunika nyuso za waamuzi
|
|
|
|
Usemi huu unamaanisha Mungu huwasimamia waamuzi wa nchi katika kuweza kuona tofauti kati ya wema na uovu. "Mungu huwapofusha waamuzi" au "Mungu husimamia waamuzi katika kutoa hukumu kwa haki"
|
|
|
|
# kama si yeye hufanya, ni nani basi?
|
|
|
|
"Kama si Mungu ambaye hufanya mambo haya, halafu nani hufanya haya?"
|