forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
402 B
Markdown
20 lines
402 B
Markdown
# Yahwe huchukia kipimo visivyo sawa na vipimo vya udhalimu si vizuri
|
|
|
|
tungo zote mbili zinahusika na jambo moja la kuonyesha "ubaya"
|
|
|
|
# hatua za mtu huogozwa na Yahwe
|
|
|
|
"Yahwe huongoza hatua za mtu"
|
|
|
|
# hatua za mtu
|
|
|
|
matendo ya mtu
|
|
|
|
# je kwahiyo anaweza kuifahamu njia yake?
|
|
|
|
"kwa hiyo mtu hawezi kuifahamu njia yake"
|
|
|
|
# kuifahamu njia yake
|
|
|
|
"kuifahamu kwa nini mambo kadhaa hutokea katika maisha yake"
|