forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
392 B
Markdown
16 lines
392 B
Markdown
# usiruhu agano la uadilifu na uaminifu viondoke kwako
|
|
|
|
Hakikisha unatekeleza agano la uadilifu na uaminifu daima.
|
|
|
|
# uyafunge pamoja kwenye shingo yako
|
|
|
|
uoneshe kwa furaha kama mtu ambovyo huvaa mikufu shingoni
|
|
|
|
# yaandika kwenye kibao cha moyo wako
|
|
|
|
daima uyakumbuke kana kwamba umeyaandika kwenye kibao cha kudumu
|
|
|
|
# katika upeo wa Mungu na wanadamu
|
|
|
|
katika hukumu ya Mungu na wanadamu
|