forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
465 B
Markdown
16 lines
465 B
Markdown
# Basi
|
|
|
|
Neno hili linaonyesha tukio lililotokea kwa sababu ya kile kilichotokea mwanzoni. Katika hali hii, Yesu aliwaona wabadili fedha wamekaa katika hekalu.
|
|
|
|
# Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu soko
|
|
|
|
Yesu, Mwana wa Mungu, anawafukuza wafanyabiashara kutoka mahali palipoandaliwa kwa ajili ya ibada ya Baba yake, Mungu Baba, kumuheshimu.
|
|
|
|
# nyumba ya Baba yangu
|
|
|
|
Haya ni maneno ambayo Yesu aliyasema yakimaanisha hekalu.
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Mungu.
|