forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
655 B
Markdown
20 lines
655 B
Markdown
# Beli anainama chini, Nebo anajishusha; sana zao ... kwa wanyama waliochoka kuishi
|
|
|
|
Isaya anazungumzia watu kuweka sanamu ya Beli na Nebo katika mkokoteni wa wanyama kusafirisha kana kwamba bidhaa hizi zilifanywa "kuinama chini" na "kujishusha". Hii yote ni mikao miwili ya kufedhehesha.
|
|
|
|
# Beli ... Nebo
|
|
|
|
Hawa walikuwa miungu miwili wa msingi ambao Wababeli waliwaabudu.
|
|
|
|
# sanamu zao
|
|
|
|
sanamu ambazo ziliakilisha Beli na Nebo
|
|
|
|
# hawawezi kuokoa sanamu
|
|
|
|
"Beli na Nebo hawawezi kuokoa sanamu zao"
|
|
|
|
# wao wenyewe wamekwenda katika kifungo
|
|
|
|
Isaya anazungumzia watu kubeba sanamu hizi kana kwamba miungu ya uongo ambayo inawakilisha inabebwa katika kifungo.
|