forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
815 B
Markdown
20 lines
815 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Isaya anazungumza. Anaendelea kufafanua watu wa Israeli kama shamba la mizabibu.
|
|
|
|
# Katika siku ijayo
|
|
|
|
Hii inazungumza juu ya siku kana kwamba inasafiri na kufika sehemu. "Katika siku za usoni"
|
|
|
|
# Yakobo atachuku mzizi; Israeli atachanua na kuchomoza
|
|
|
|
Yahwe kubariki watu wa Israeli na kusababisha waweze kufanikiwa inazungumziwa kana kwamba walikuwa mzabibu unaota mizizi na kuchanua. "uzao wa Israeli utafanikiwa kama mzabibu ambao umeshika mizizi na kuchanua"
|
|
|
|
# Yakobo ... Israeli
|
|
|
|
Hapa "Yakobo" na "Israeli" ni mfano wa maneno ambao yanawakilisha uzao wa Yakobo.
|
|
|
|
# watajaza uso wa nchi kwa matunda
|
|
|
|
Yahwe kusababisha watu wa Israeli kufanikiwa sana ili kwamba waweze kuwasaidia watu wengine inazungumziwa kana kwamba walikuwa mzabibu ambao huotesha matunda mengi sana hadi kufunika dunia.
|