forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
675 B
Markdown
28 lines
675 B
Markdown
# Kwa amri zake zote za haki ... sijazigeuka
|
|
|
|
Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudia mawazo haya kwa ajili ya mkazo.
|
|
|
|
# zimekuwa mbele yangu
|
|
|
|
"zimeniongoza" au "nimezikumbuka"
|
|
|
|
# Pia nimekuwa bila hatia ... nimejitenga na dhambi
|
|
|
|
Vishazi hivi viwili vina maana ya kufanana. Mwandishi anarudia mawazo haya kwa ajili ya mkazo.
|
|
|
|
# bila hatia mbele yake
|
|
|
|
"bila hatia kulingana na yeye"
|
|
|
|
# nimejitenga na dhambi
|
|
|
|
"sijatenda dhambi"
|
|
|
|
# mikono yangu ilikuwa misafi
|
|
|
|
Kuwa na "mikono misafi" inamaanisha kuwa mtu hana hatia na kosa. "matendo yangu yote yalikuwa sawa"
|
|
|
|
# mbele ya macho yake
|
|
|
|
Hii inamaanisha uwepo wa Mungu. "mbele yake" au "kulingana na yeye"
|