forked from WA-Catalog/sw_tn
686 B
686 B
Maelezo ya Jumla:
Nukuu hii inatoka kwa nabii Yeremia.
nyumba ya Israeli
Watu wa Israeli wanaongelewa kana kwamba walikuwa ni nyumba.
baada ya siku hizo
"baada ya wakati huo"
nitaweka sheria zangu mioyoni mwao
Sheria za Mungu zinaongelewa kana kwamba ni vyombo ambavyo vingeweza kuwekwa mahali fulani. Uwezo wa watu kufikiri kunaongelewa kana kwamba ni sehemu.AT: "Nitawawezesha kuelewa sheria zangu"
Pia nitaziandika mioyoni mwao
Mioyo ya watu ilifikiriwa kuwa kituo cha uaminifu kwa Mungu, na imeongelewa kana kwamba ni ukurasa ambao ungeweza kuandikwa.
nitakuwa Mungu wao
"Nitakuwa Mungu wanae mwabudu"
watakuwa watu wangu
"watakuwa watu ambao ninawajali"